Latest Comments

weka tangazo lako hapa

Content

Saturday, May 5, 2018

Habari Picha: STAMINA KAUKACHA UBACHELA (nayeye kafwata jiko rwanda?)

Msanii  STAMINA ambae anaunda kundi la ROSTAM akiwemo yeye na Roma  ,Amefunga ndoa tayari! Na mkewe Bi. Veronica iliyofungwa mapema jana katika kanisa la Mtakatifu Consolotha lililopo SUA-Morogoro, na wasimamizi wa ndoa yake ni rapa  #RomaMkatoliki na mkewe @mrs_roma2030

--------

.Tizama picha hapa chini

0 comments:

Post a Comment

2015-Khomgodlove . Powered by Blogger.

ADs

Popular Posts

Something