Content
ELIZABETH | AWAUA MABINTI ILI KUONGEZA SIKU ZA KUISHI DUNIANI
Alikuwa mwanamke mtukufu waKutoka Hungary na alidaiwa kuwa muuaji
wa mfululizo kutoka kwa familia ya Báthory, Yeye ni mmoja wa wauaji wa mapema
zaidi katika historia iliyorekodiwa – mwanamke huyu mwenye wa asili wa sado aliye kuwa akiwaua wadada
wadogo bafuni ili kuzuia kuzeeka kwake.
Kati ya 1602 na 1604, baada ya
uvumi wa ukatili wa Báthory kuenea katika ufalme wote, waziri wa
Magyari alitoa malalamiko dhidi
yake, hadharani na katika mahakama ya Vienna, Mnamo 1610, Mfalme
Matthias wa Pili alimtuma Thurzó, achunguze. Thurzó aliamuru
wathibitishaji wawili, András na Mózes, kukusanya ushahidi mnamo Machi 1610.
Kufikia Oktoba 1610 walikuwa wamekusanya taarifa 52 za mashahidi 1611, idadi
hiyo ilikuwa imepanda zaidi ya watu 300.
Kulingana na ushuhuda huo, wahathiriwa wa kwanza wa Báthory
walikuwa wasichana wenye umri wa miaka 10 hadi 14. Inasemekana kwamba Báthory
alianza kuwaua binti za watu wa jinsia moja, ambao walipelekwa kwenye jumba
lake la kufanyia mazoezi ya mwili na wazazi wao ili kujifunza adabu.
Kulikuwa na aina
nyingi za mateso zilizoshukiwa kufanywa na Elizabet, wasichana hao walichomwa
kwa koleo moto na kisha kuwekwa kwenye maji baridi. Wengine sindano mateso yote hayo yalikuwa kama
ushahidi mahakamani.
Baadhi ya mashuhuda waliwataja jamaa waliofariki wakiwa
kwenye ukumbi wa mazoezi ya viungo. Wengine waliripoti kuwa wameona matukio ya
kuteswa kwenye maiti, baadhi zikiwa zimezikwa kwenye makaburi, na nyingine
katika maeneo yasiyojulikana. Maafisa wawili wa mahakama (Benedek Deseő na
Jakab Szilvássy) walidai kuwa walijionea wenyewe mateso na mauaji ya watumishi
wa kike.
Báthory na washirika wanne walishtakiwa kwa kutesa na kuua mamia ya wasichana na wanawake kati ya 1590 na 1610. Wenzake walifikishwa mahakamani na kuhukumiwa lakini Báthory alizuiliwa nyumbani kwake. Alifungwa ndani ya Ngome, mnamo Desemba 1610, alifungiwa ndani ya ngome kwa sababu alikuwa ni motto wa kifalme.
DISO TV youtube channel VIDEOS like share
Diso tv youtube channel
UBUNGO MPYA
CHINA inakusudia kujenga Kituo cha Kisasa cha Kibiashara katika eneo la Stendi Kuu ya sasa ya Mabasi ya Ubungo, Dar es Salaam kuanzia mwezi huu, kikiwa na uwezo wa kukusanya shughuli zote za biashara na mahitaji ya nyumbani
Mh. Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ametengua kikokotozi cha mifuko ya hifadhi ya jamii
Akiongea na viongozi wa mifuko ya hifadhi ya jamii amesema kwanni mumpe kidgokidogo mifuko iendelee na kikotoeo cha zamani kama ilivyokuwa