Habri zilizopo mitandaoni kwenye pge yenye jina la zarithebosslady instagram imeandika kutokana na kusikika ama kufanyika kukosa uaminifu kwa diamond platnumz wao wameamua kutengana rasmi na watakuwa wazazi tyu kwa wanawe wwili na kimahaba tena ,ikiwa habari ni za kweli basi kwa wale mabinti waliokuwa wanamvizia simbaa milango wazi
0 comments:
Post a Comment