Sasa simbaa kuifanya WCB brand ya kimataifa zaidi sio tu kimuziki bali kiofisi pia kwenye page ya instagram perfecto amescreenshot page ya diamond platnum ikisema 'kuwa wanataka kufungua tawi la WCB kenya ni msanii gani awe wakwanza kusainiwa ? Ikiwa ni juhudi za kuinua vipaji vya wasanii wadogo.
0 comments:
Post a Comment